madaraja ya mshahara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Mwaka huu wa fedha 2023/2024 hakuna kupanda madaraja na mserereko? Watumishi wa Umma wameingizwa choo cha kike?

    HAKIKA MCHENGERWA, Ridhiwani na Simbachawene mmewaingiza watumishi choo cha kike, kwani pamoja na kuwatuma maafisa mbalimbali Kila Kona ya nchi kuongea na watumishi hakuna hata kimoja kilichotekelewa. Hakuna cha Madaraja, mserereko, msawazo uliofanykka. Hii ni fedha kubwa kwa watumishi wa...
  2. M

    Je, ni kweli kuna utofauti ya ukomo wa madaraja ya TGTS kwa Walimu wa Shahada na Stashahada?

    Naomba kufafanuliwa na nielewe juu ya swala hili. maana wengine wanasema shahada yeye anafika mpaka bar ( mwisho) stashahada anaishia daraja H na astashahada anaishia daraja G? je kuna ukweli hapo?
  3. maina23

    Mnaodai ESS imeshabadili vyeo mpo nchi gani?

    Niende kwenye hoja. Nimekuwa busy kusubiri daraja jipya wiki 2 saaa. Kila saa naangalia Mfumo. Nilipanda mwaka 2021, Juni tarehe 1, kutoka E kwenda F. Sasa nasubiri kwa hamu...sasa zaidi presha niliyonayo naona wanaodai wameshaona tofauti kwenye profile ya mfumo. Je nyie watu sio...
  4. B

    Waziri wa tamisemi hatujasahau watumishi ahadi yako ya kupandisha madaraja mwaka wa fedha 2023/2024

    Mh. Ahadi zako haziwezi kusahaulika kamwe za kupandisha watumishi MADARAJA yao na kwa mserereko kwani ulitoa maelekezo mchana kweupe kwamba kazi inafanyika haraka sana asiachwe mtumishi yeyote kuanzia kwenye vitongoji. Cha kusikitisha hadi Sasa ahadi hiyo haijatekelezwa na hii ni may 2024...
  5. B

    Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024

    Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwani serikali imerudia kusema mara kwa mara kupitia waziri wa OR Tamisemi menejimenti ya utumishi wa umma kwamba serikali itawapandisha Madaraja watumishi 81000 lakini hakuna taarifa yeyote inayotolewa kwa watumishi hao wala kubainishwa. Hii inakatisha tamaa...
Back
Top Bottom