Rais alikuwa na lengo zuri tu kwa watumishi la kuwapandisha Madaraja lakini kazi hiyo haijakamilika kwa baadhi ya wilaya hadi July hii.
Taarifa za uhakika zinasema wilaya za mkoa wa Shinyanga kama Ushetu, Shinyanga DC, Kishapu bado Kuna malalamiko mengi.
Approval hao wasifanye watumishi...
Niende kwenye hoja.
Nimekuwa busy kusubiri daraja jipya wiki 2 saaa. Kila saa naangalia Mfumo. Nilipanda mwaka 2021, Juni tarehe 1, kutoka E kwenda F.
Sasa nasubiri kwa hamu...sasa zaidi presha niliyonayo naona wanaodai wameshaona tofauti kwenye profile ya mfumo.
Je nyie watu sio...
Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwani serikali imerudia kusema mara kwa mara kupitia waziri wa OR Tamisemi menejimenti ya utumishi wa umma kwamba serikali itawapandisha Madaraja watumishi 81000 lakini hakuna taarifa yeyote inayotolewa kwa watumishi hao wala kubainishwa.
Hii inakatisha tamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.