madaraja ya utumishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Approval madaraja ya Watumishi wa Umma, TAMISEMI wanamwangusha Rais

    Rais alikuwa na lengo zuri tu kwa watumishi la kuwapandisha Madaraja lakini kazi hiyo haijakamilika kwa baadhi ya wilaya hadi July hii. Taarifa za uhakika zinasema wilaya za mkoa wa Shinyanga kama Ushetu, Shinyanga DC, Kishapu bado Kuna malalamiko mengi. Approval hao wasifanye watumishi...
  2. maina23

    Mnaodai ESS imeshabadili vyeo mpo nchi gani?

    Niende kwenye hoja. Nimekuwa busy kusubiri daraja jipya wiki 2 saaa. Kila saa naangalia Mfumo. Nilipanda mwaka 2021, Juni tarehe 1, kutoka E kwenda F. Sasa nasubiri kwa hamu...sasa zaidi presha niliyonayo naona wanaodai wameshaona tofauti kwenye profile ya mfumo. Je nyie watu sio...
  3. B

    Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024

    Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwani serikali imerudia kusema mara kwa mara kupitia waziri wa OR Tamisemi menejimenti ya utumishi wa umma kwamba serikali itawapandisha Madaraja watumishi 81000 lakini hakuna taarifa yeyote inayotolewa kwa watumishi hao wala kubainishwa. Hii inakatisha tamaa...
Back
Top Bottom