madebe

  1. MR miyagi8771

    Ila Madebe anamiliki wanawake wazuri lakini kwenye movies anasema uzuri wa wanawake sio sura

    jamaa anamiliki pisi kali ila kwenye movie zake anakwambia uzuri wa mwanamke sio sura 😀 bali ni tabia ila madebe😂😂
  2. Mhaya

    Madebe Lidai unapaswa kuwaomba radhi Wakristo

    Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako; "Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🤣🤣" Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha...
  3. S

    Mikopo ishakuwa mingi sasa kazi inayoendelea ni madebe.

    Inaposemwa kazi iendelee na nyinyi mjiongeze ,utaziona kazi nyingi sana ambazo CCM walikuwa nazo wakati wa Magu na sasa zinasemwa kazi ziendelee au ziendelezwe. 1) Kama uliona unaonewa basi kazi ya kukuonea itaendelea 2) Kama uliona mambo yanakunyookea basi yatazidi kukunyookea 3) Kama waliiba...
  4. 4

    Nimeona kibanda Wilaya Hai kidogo kinafaa. Nina Milioni 55

    Wakuu kheri ya Idd, Ndugu zangu wapendwa wote mlio JamiiForums ndani na nje ya nchi nawasalimia katika jina la 47Mbatizaji maana Mungu wetu sote Niliona 'kibanda' flani kipo Wilaya ya Hai, chenye master mbili na vyumba viwilii. Nimejitokeza nataka kwa niaba ya Ndugu na Jamaa kwa bei tajwa hapo...
Back
Top Bottom