Habari la jioni dada zangu wapendwa.
Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu.
Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au Yanga.
Halafu hayo yote sijawahi ona masaki wala ostabay utakuta ni huku kwetu Buguruni, Mbagala na...
Kuna msimu yanga kila mechi walikuwa na jezi yake yaani mpaka msimu unaisha haijulikani jezi rasmi ni ipi,na sio mbali ni kama miaka mitatu au minne tu hivi,simba tukawafundisha ustaarabu.
Ghafla designer wao akaja na madera ,wanazi wakayatetea ila rohoni ilikuwa inachoma.
Nakumbuka yule...
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Kwa siku ya jana na leo vazi pendwa la wanawake wa mjini dera na kijora vimepamba sana mjini.
Hivi sifa za wavaa hayo mavazi ni zipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.