Wakuu,
Madereva wa Magari yanayofanya safari za Nachingwea, Ruangwa, Liwale, Mtwara na Masasi kutokea Stendi kuu ya Mabasi Mkoani Lindi wamegoma hii leo januari 8, 2025 kwa kile walichokieleza kuchoshwa na utitiri wa faini barabarani na kufungiwa leseni zao na Jeshi la polisi kupitia kitengo...