Salaam WanaJf,
Hivi Hawa madereva wa serikali na mashirika ya umma hizi sheria za barabarani haziwahusu? Au ni kwa sababu leseni zao hazupigwi faini! Hii ni shida kubwa mno kama Kuna watu tu eti kwa sababu ni waajiriwa was serikali Basi wapo above the law.
Haya magari mawili pichani yamesimama...