Kama kawaida yetu sisi wa Tanzania tunapendana na Kujaliana hivyo mtu anapoazima kitu tunampatia anatumia na kisha anarudisha na wewe unaendelea kutumia.
Wengi huazimana Earphone kazini, kwenye michezo na sehemu nyingine kama hizo.
Wengine huazimana Nguo, Viatu, hereni, Na kadhalika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.