Tatizo la nchi yetu lipo kwenye vyombo vya habari na mahakama.
Mahakama ikikutana na CCM inakuwa mbendembende. Vyombo vya habari vikiiona CCM vinapatwa na mchecheto..
Matokeo yake nchi sasa washauri wakuu wa viongozi wetu ni watu wa hovyo hovyo wanaoitwa "chawa"
Na bahati mbaya sana hao chawa...