Mifupa huupa mwili muonekano wake halisi pamoja na kulinda baadhi ya viungo vyake.
Aidha, hufanya kazi ya kutunza baadhi ya madini na virutubisho vya mwili, pia ni sehemu ambayo mwili huitumia katika kutengeneza damu.
Ili mifupa iweze kufanya kazi zake vizuri ni lazima iwe na kiasi cha kutosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.