maegesho ya magari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TAWA

    KERO Watoza ushuru wa maegesho ya magari Manispaa ya Morogoro wanatoza ushuru kinyume na utaratibu

    Naripoti kutoka Morogoro manispaa: Kumekuwa na changamoto kwa wakazi wa manispaa ya Morogoro kutozwa ushuru wa maegesho ya magari na watu wa halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kinyume na utaratibu. Ukiegesha gari bila kujali katika maegesho rasmi ya Manispaa au popote pale anakuja mtu wa...
  2. FRANCIS DA DON

    Napendekeza mfumo wa ‘Bluetooth GPS Parking System’ katika kukusanya ada za maegesho ya magari Dar es salaam

    Kwa kupitia mfumo huu, ada za magari zitakuwa ‘charged automatically’ bila kuwa na wafanyakazi wanaotembea na vimashine vya EFD kuoiga oicha magari, how? Ni kwamba zile sehemu zote za parking za kulipia, zitafungiwa ‘Sensor’ za ‘Bluetooth’, ambapo magari yote Dar nayo yatafungiwa ‘Bluetooth ID...
  3. S

    SoC04 Tanzania ni nchi nzuri lakini imejawa na Viongozi wazembe

    Tanzania ni nchi nzuri sana, Amani, Uhuru na Utulivu ni wa kutosha, Ila ni nchi iliojawa na viongozi wazembe sana japo ni wasomi sana Tumekua tukiamini sana katika Uwekezaji hasa kwa Raia na Taasisi za kigeni kuliko kuwekeza na kusimamia sisi wenyewe? Serikali haifanyi Biashara ila inatoa...
  4. A

    Ada za maegesho ya magari ziongezwe kufikia Tsh. 5,000/= kwa saa

    Katika Kupunguza msongamano wa magari mijini na kuongeza mapato ya TARURA napendekeza yafuatayo; 1. Ada za maegesho zingeboreshwa mpaka kufikia TSH 5,000 Kwa kila gari kwa muda wa saa 1. 2. Maslahi ya Madiwani na wahudumu/ wakusanyaji ushuru (mishahara na vitendea kazi navyo viboreshwe). ====...
  5. Jaji Mfawidhi

    Wanaopaki magari Hospitali ya Muhimbili kuanza kulipia

    Wanaopaki magari muhimbili kuanza kulipia 5.4.2023 WANAOPAKI magari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili watalazimika kulipia ili kuondoka changamoto ya msongamano wa vyombo vya usafiri vinavyoingia hospitali hapo. Profesa Mohamed Janabi. Mkurugenzi Mtendaji Hospitali hiyo, Profesa Mohamed...
  6. MOONFISH

    Jamaa wa Afrika Kusini akionesha 'feature' ya E63 AMG ya gari kujiegesha lenyewe

    hiii gari kumbe ni tamu hivi sikujua kama ina hiii kitu iko poa sana nimeipenda ina bidi nikanunue siku moja nikienda mbinguni
  7. Nyendo

    TARURA: Kusitishwa kwa muda kwa faini za ushuru wa maengesho ya magari

    TAARIFA KWA UMMA KUSITISHA KWA MUDA UTOZAJI WA FAINI ZA USHURU WA MAEGESHO YA MAGARI Dodoma 8 Aprili, 2022 Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 07/04/2022 Wakala wa Barabara za Vijijini na MijiniTARURA ilitoa taarifa ya kuanza kutoza faini kwa watumiaji wa maegesho waliopitisha Siku 14 bila kulipa...
  8. sirluta

    Arusha: Njia za watembea kwa miguu walikohamishwa wamachinga, zageuzwa maegesho ya magari

    Habari wadau, Zoezi la kuhamisha wamachinga waliokuwa wameziba njia za watembea kwa miguu lilifanyika kwa malengo mengi ikiwa ni pamoja na watembea kwa miguu kupata njia za kupita. Wenye magari nao walikuwa walalamikaji wakubwa juu ya kero hiyo ya wamachinga kuziba barabara. Baada ya zoezi la...
  9. Scaramanga

    Utaratibu wa tozo za maegesho ya gari

    Utaratibu huu mpya hasa jiji la Dar es salaam kuhusu tozo za maegesho ya gari wahusika wautizame upya.Sipingi kuhusu toz hii bali utaratibu siyo mzuri na unaleta urasimu au usumbufu kwa watumiaji wa magari pale wanapoegesha. Sasa hivi ukiegesha gari waliopewa jukumu kusimamia wana scan na...
  10. Roving Journalist

    Dar: RC Makalla akerwa na ukamataji na faini za ‘wrong parking’

    - Asema watekelezaji hawana weledi na kusababisha kero na taharuki. - Aitisha kikao Cha dharuracha Wakurugenzi na TARURA kujadili. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameonyesha kukasirishwa na utaratibu usiofaa wa ukamataji wa magari kwenye maegesho yasiyo rasmi "wrong parking"...
Back
Top Bottom