maendeleo tanzania

The Progressive Party of Tanzania–Maendeleo (PPT–Maendeleo) is a political party in Tanzania. The party was registered on 4 March 2003.
In elections held on 18 December 2005, PPT–Maendeleo presidential candidate Anna Senkoro placed eighth out of ten candidates, winning 0.17% of the vote. She was the only woman to run in the election, and the first woman in Tanzanian history to run for president. The party failed to win any seats in National Assembly elections held on the same day.
In the same election, PPT-Maendeleo won a seat in the local government election in Same District, Kilimanjaro Region. Due to this, the Electoral Commission appointed one special seat of a woman councillor. Hence now PPT-Maendeleo is among 7 active political parties out of 17. It also has more than 50 seats in the village councils.
The current National Leader (President) is Peter Kuga Mziray while the Vice President is Khamis Suleiman. The Party's head office is located at Wibu street, Kinondoni, Dar es Salaam.

View More On Wikipedia.org
  1. Z

    Nauliza hivi; tunatumia vigezo gani kupima maendeleo Tanzania?

    Utasikia uchumi umepaa mara maisha bora, hivi kwa speed yetu iko siku tutafikia nchi kama USA?
  2. I

    Vijana na ulevi

    Kila nikirudi nyumbani (mkoani), nagundua dhahiri kabisa kuwa kuna ongezeko kubwa sana ya maduka madogo madogo ya pombe (grocery stores) katoka mitaa mbalimbali tofauti na hali ilivyokuwa miaka 10 au zaidi iliyopita. Hata maduka yanayouza mchele na sukari lazima kuna droo ya kuuza pombe tena...
  3. Shooter Again

    Watanzania tuamke tunaibiwa

    Kama kichwa cha habari kinavyosema. Mimi binafsi nipo tayari kumwaga damu yangu Kwa ajili ya hili taifa, najua ipo siku nitakufa kwanini niogope kifo wakati huyo atakayenishoot na yeye ipo siku atakufa pia? Tunaona serikali inatuibia, tuzinduke usingizini tunaibiwa na wakufanya hii hali ipotee...
  4. YHWH

    SoC04 Hatua Muhimu za Kuchochea Maendeleo ya Kiteknolojia Tanzania kwa miaka 10 hadi 20 ijayo

    Utangulizi Tanzania imekuwa ikishuhudia maendeleo ya kiteknolojia kwa kasi katika miaka ya hivi karibuni. Katika miaka 10 hadi 20 ijayo, nchi inaweza kuwa imefikia kiwango kikubwa cha maendeleo ya teknolojia ikiwa itazingatia na kuwekeza katika maeneo haya makuu yafuatayo. Miundombinu ya...
  5. Robert S Gulenga

    Serikali na CCM, Wameamua kuwahudumia Watanzania na sio kupambana na Wanaharakati wa matusi au wale we ngine wakutukana

    Serikali ya awamu ya Sita ina jukumu la kubwa la kuwaletea Watanzania Maendeleo, ustawi bora wa Maisha, huduma za Kijamii bora na usawa kwa kila Mtanzania. Kuna kelele nyingi na matusi toka kwa Wanaharakati ambao lengo lao kila mmoja anajua kuwa si jema, si kwamba Serikali ya awamu ya sita, si...
  6. P

    SoC04 Matumizi ya nishati safi kwa matumizi ya kupikia na viwandani kwa maendeleo ya Tanzania

    Nishati ni ule uwezo au nguvu ya kufanya kazi inayoleta matokeo Fulani ambayo yanaweza kuwa chanya au hasi, nishati imegawanyika katika makundi makuu mawili ambayo ni nishati safi na nishati chafu. Nishati isiyo safi ni aina ya nishati ambayo husababisha madhara ya kimazingira mara baada ya...
  7. A

    SoC04 Sekta ya Uvuvi ilikuleta maendeleo

    Kuna changamoto kadhaa ambazo zinakabili sekta ya uvuvi nchini Tanzania. Baadhi ya changamoto hizo ni pamoja na: 1. Uvuvi haramu: Uvuvi haramu umekuwa tatizo kubwa sana nchini Tanzania ambapo wavuvi hawafuati sheria na taratibu za uvuvi zilizowekwa. Hii husabisha upungufu wa samaki na kuathiri...
  8. peno hasegawa

    Mwaka 2024 mwenye taarifa za miradi ya maendeleo Tanzania tukutane hapa!

    Wakuu, happy new year 2024. Wenye taarifa za miradi ifuatayo tukutane tujadiliane: 1. Uwanja wa ndege wa Msalato 2. Ujenzi wa barabara ya mwendokasi kuelekea uwanja wa ndege wa Dar 3. Ujenzi wa chuo kikuu Butiama 4. Ujenzi wa barabara Kwa kiwango cha lami kutoka SikongeTabora hadi Makongorosi...
  9. Lady Whistledown

    Songwe: Mkusanya mapato ashtakiwa kwa ubadhirifu wa zaidi ya Tsh. Milioni 13

    Lington Mbuzi, anakabiliwa na tuhuma za Ufujaji na Ubadhirifu wa Tsh. 13,913,488/= mali ya Halmashauri ya Wilaya ya Songwe zilizofika kwenye himaya yake akiwa Mtumishi wa Umma. Imeelezwa kuwa, kati ya Mei 5 2017 na Oktoba 10, 2019, Mtuhumiwa akiwa Mkusanya Mapato katika Halmashauri hiyo...
  10. Fahami Matsawili

    Rais Magufuli ameamua nchi ifungue sura mpya ya kimaendeleo kuelekea 2025

    Rais wetu John pombe Magufuli ameamua Nchi iende Mbele... hii ndio kusema Chagua Magufuli Kazi iendelee 1. Ujenzi wa barabara Nchi Nzima kwa gharama Sh. Trilioni 5.3 ili kurahisisha usafiri wa watu na mizigo ya biashara kutoka sehemu moja kwenda nyingine..... 2. Ununuzi Ndege Mpya Sh...
Back
Top Bottom