maendeleo ya kiuchumi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pfizer

    Benki ya biashara tanzania (TCB) yaendelea kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa kutoa ushirikiano katika miradi ya miundombinu

    Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imesema inajivunia kuwa sehemu ya mradi wa reli ya kisasa (SGR) uliozinduliwa hivi karibuni kwa safari ya kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma. Akihutubia katika uzinduzi huo jijini Dodoma, Mheshimiwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliuelezea mradi huo kuwa...
  2. M

    Ili Tanzania Iendelee Kiuchumi na Kisiasa - Part 1

    PART 1 Tutakuwa na muendelezo wa mada mbali mbali inayohusu viongozi walitawala nchi zao na jinsi ya walivyoongoza ili wanasiasa na wataalam waweze kuifata kama ni role model wao- Hii itakuwa kila Ijumaa. Tuanze na huyu Khalifa ‘Umar bin Abdul Aziz Khalifa ‘Umar bin Abdul Aziz, anayejulikana...
  3. F

    SoC04 Maendeleo ya kiuchumi na Tanzania tuitakayo

    TANZANIA TUITAKAYO MIAKA 5 MPAKA 25 KATIKA MAENDELEO YA KIUCHUMI Tanzania ni nchi yenye uchumi wa kati-chini (middle lower income) kulingana na tafiti na taarifa ya Benki ya dunia ya tarehe 1 julai, 2020, hiyo ni miaka mitano kabla ya muda ambao Tanzania ilijipangia katika Dira ya Maendeleo ya...
  4. G

    Waafrika hatuwezi kujisimamia wala kujiletea maendeleo. Tuwalete wazungu watusimamie kwa maelewano

    Nitajie nchi moja tu ya Kusini mwa Jangwa la Sahara yenye maendeleo. Hakuna !! South Africa ni kwa mgongo wa makaburu tatizo ni kwamba Mandela aliwaachia mikataba ile ile ya kikoloni ndiocmaana Waafrika wana hali ngumu sana huko, Nigeria imegeuka kuwa nchi ya kuuana kikabila chungu nzima. Mfano...
Back
Top Bottom