mafanikio maishani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LoneJr

    Nina ndoto za kuwa huru kiuchumi kabla ya miaka 26, lakini Sina mwanga wa kipi nianze kufanya

    "Wakuu habari. Nina umri wa miaka 20 sasa lakini pia kipato nilichonacho kwa siku hakizidi 7000 Nina ndoto za kuwa huru kiuchumi kabla ya miaka 26 lakini Sina mwanga wa kipi nianze kufanya."
  2. Mr-Njombe

    Je, unajua kwanini hufanikiwi?

    Mu hali gani! Kunamitazamo mingi kuhusu suala la mafanikio ya mtu, lakini kwaujumla kufanikiwa nikufanikisha kutekeleza mipango na malengo tunayojiwekea katika maisha. Lakini asilimiakubwa ya watu hushindwa kufanikiwa kwasababu zifuatazo;- Kwanza Kutojiwekea malengo au kupoteza focus ya...
  3. M

    Miaka 30 na huna ulemavu sio umri wa kulalamika kuwa hufanikiwi kwa sababu husaidiwi

    UNA MIAKA 30? HII INAKUHUSU Kwanza jua una miongo mitatu ( mafungu matatu ya miaka kumi kumi). MUONGO WA KWANZA ( 0-10) 1. Hapa ulikuwa mtoto 2. Mwanzo wa shule ( kwa walioenda shule) 3. Hapa uliathiriwa sana na malezi ya walezi wako. 4. Ulitegemea kwa 100%. MUONGO WA PILI ( 11-20) 1. Uliaga...
  4. realMamy

    Jaribu kujaribu! Utajishukuru mwenyewe baadaye

    Kwa nini unaogopa kujaribu? Nini shida Kijana? Jaribu kufanya Chochote kizuri kitakachokusaidia wewe. Usitegemee mtu. Maisha ya sasa hivi ni wewe mwenyewe na wala usimlaumu mtu. Kama umekosea kitu. Anza upya usiogope. Kama una kipaji cha kusuka anza kusuka. Kama una kipaji cha kuimba imba...
  5. Utawala2025

    Mje mtushauri vijana wa miaka 25 hadi 40

    Habari, Nimekuja na mada hii kwa wazoefu wa maisha mnaweza kutusaidia sisi vijana wadogo ambao tuko kwenye miaka 23 hadi 40. Maisha yetu yamekuwa ni ya matarajio mengi sana lakini uhalisia wa hayo matarajio ni tofauti na tunavyofikiria au tulivyoahidi. Umri umefika tumejikuta tuna wake...
Back
Top Bottom