Mu hali gani!
Kunamitazamo mingi kuhusu suala la mafanikio ya mtu, lakini kwaujumla kufanikiwa nikufanikisha kutekeleza mipango na malengo tunayojiwekea katika maisha.
Lakini asilimiakubwa ya watu hushindwa kufanikiwa kwasababu zifuatazo;-
Kwanza
Kutojiwekea malengo au kupoteza focus ya...