mafanikio ya samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Pre GE2025 Wanawake Dar kuandaa tukio kusherekea mafanikio ya Rais Samia

    Wakuu, Wanawake Dar mmeamua haya na mi sijui, kuna watu wana siri...nimelia sana:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: ===== Wanawake wa jijini Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wanatarajia kuandaa tukio maalum la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  2. D

    Mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia tangu aingie madarakani

    Mambo aliyofanya samia tangu aingie madarakani 1. Kuondoa retention fee ya wadaiwa wa HESLB ambyo ilikuwa 6% mama akaifuta. 2. Miradi yote ya awamu ya tano kaimaliza yote na anapambana na mingine. 3. Ameongeza uwekezaji nchini na sasa kqsi ya mzunguko wa pesa ni mkubwa sana. ukitaka kujua...
  3. figganigga

    Mitano tena: Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Ruvuma

    Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Wilaya ya Mbinga vijijini Mkoani Ruvuma Mtibabu anakaa hapo chumba cha kwanza. Ni kiasi gani Samia kaelekeza Ruvuma na kimefanya nini? Huku ni kwao na Waziri wa afya Jenista Muhagama. Fedha za miradi ya afya ya IMF...
  4. Wafuasi wa Rais

    Pre GE2025 Tufanye Midahalo kuhusu itikadi za kisiasa nchini au mafanikio ya Rais Samia Awamu ya 6

    Mdahalo uwe live hapa hapa JF. Jukwaa la kisiasa la JF sasa liwe la midahalo ya kisiasa hapa nchini Tanzania. Mada mojawapo kati ya hizi mbili, au zingine vile mtakavyoona: 1 - Itikadi za kisiasa ubaya na uzuri wake. Sisi kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters...
  5. J

    Pre GE2025 Mkuu wa Wilaya Kinondoni: Tumepata mafanikio makubwa sekta zote chini ya Rais Samia

    DC KINONDONI: TUMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA SEKTA ZOTE CHINI YA RAIS SAMIA Akielezea jitihada zilizofanywa na Serikali ya awamu ya Sita, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule amesema wamepata mafanikio makubwa katika sekta zote huku akipigilia msumari namna Rais Samia alivyopambana kuokoa...
Back
Top Bottom