mafia island

Mafia Island (Kisiwa cha Mafia) is an island off the coast of Tanzania. The island is the third largest of the extended Zanzibar Archipelago, but is not administratively included within the semi-autonomous region of Zanzibar, which has been politically separate since 1890. Mafia Island forms the major part of Mafia District, one of the six administrative districts in the Pwani coastal region. The local archipelago and the main island are sometimes called Chole shamba in Swahili, hinterlands of the former maintown of Chole on Mafia Bay.The island's population is over 40,000. The economy is based on fishing, subsistence agriculture and the market in Kilindoni. The island attracts some tourists, mainly scuba divers, birdwatchers, game fishermen, and people wanting relaxation.

View More On Wikipedia.org
  1. Mringanisho wa Mafia Island Vs Maldive Island

    Hapa ni uringanisho wa Kisiwa cha Mafia na Maldives. Ukumbwa Mafia -435 KM2 maldive -300 KM2 UCHUMI MALDIVES -6 Billion za kimarekan MAFIA -0 (no data/Hawajafanya tathmin) SHUGHULI ZA UCHUMI MAFIA-Utalii Maldives -Utalii Tanzania inashindwaje kukifanya kisiwa cha mafia kama maldive wakat...
  2. Naomba kupata taarifa kuhusu kisiwa cha Mafia

    Naomba kujua kiundani kisiwa Cha Mafia. Kuna mdogo wangu amepata kazi uko, naomba kujua Hali ya hewa ya hicho kisiwa, huduma za kijamii Kama hospitali na Shule, na Upatikanaji wa Banks, etc. Vipi gharama za maisha zikoje? Na je lazima mtu kupanda boti akiwa anaenda kazini? Je mitandao ya simu...
  3. Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

    Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani [
  4. S

    Historia ya kisiwa cha Mafia

    LOCATION:- Mafia ni kisiwa kilichopo ndani ya bahari ya hindi,kina jumla wakazi 46,000 kwa sensa ya 2012.Kinapatikana katika mkoa wa pwani. Kutoka jijini Dar es salaam, kuna njia tatu kuu 1.Usafiri wa majahazi (kisiju) 2.Usafiri wa boti (nyamisati) 3.Usafiri wa ndege (JNIA) WAKAZI WAKE...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…