Mwaka 2002 nikiwa kijana mdogo wa sekondari nilifanya jambo la kipuuzi sana na ilikuwa dhambi. Nakumbuka ilikuwa ni kipindi cha likizo ya mwezi wa 6. Kwa miaka yote 6 ya sekondari sikuwahi kusoma tuition kabisa na ilikuwa kila likizo lazima tukutane na program za kazi baba kashaziandaa. Likizo...
Hello how are you all!!!!!
Leo nimekumbuka hiki kisa.
Ilikuwa mnamo mwaka 2012 nimemaliza darasa la 7. Ilikuwa mwezi wa 10 kama sijasahau, huko mkoa mashughuli kwa ulimaji wa tumbaku.
Baba yangu ni mkulima pia wa tumbaku toka kitambo sana.
Huwa tuna utaratibu wa kuendea wasaidizi wa kazi...
Mpaji Mungu aliniiita geresa ambaye hafai kutambulishwa nyumbani kwa wakwe.
Hii iliniuma sana why ni madharau na ukiangalia sijawahi mlazimisha mtu aje kwangu kwa lazima.
Kilichoniuma zaidi ni mtu wangu wa karibu sana akalike hiyo comment kama kweli alikuwa ananiona mie kitu cha ajabu kwake si...
Wakuu,
Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.
Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa...
📣📣📣📣📣📣📣
Maisha na Mafunzo Muhimu kwa Kila Mtu, Jitathmini.
1. Hakuna atakaye kuja kukuokoa. Simama imara, Kuwa shujaa.
2. Usilazimishe mtu yeyote akuchague. Utajifunza kutumia muda peke yako.
3. Dhibiti hisia zako. Akili tulivu inaweza kushughulikia hali yoyote.
4. Ili kuepuka kukatishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.