Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo taifa, Abdul Nondo, amehoji nia na utayari wa Serikali katika kusaidia vijana wasio na ajira kwa kuwekeza zaidi kwenye mafunzo ya ufundi stadi kupitia vyuo vya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)
Nondo amesema kuwa licha ya Serikali...
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika elimu na mafunzo ya ufundi stadi ni muhimu sana na kwa sasa unaonekana kudumisha kasi nzuri, vilevile umeendelea kustawi kwa pande zote. Kupitia ushirikiano huu vijana wengi wa Afrika wananufaika katika masuala ya ufadhili wa masomo na kuja kusoma...
Viongozi wetu wamekuwa wakifanya mabadiliko mbali mbali katika sekta hadhimu ya elimu,mabadiliko hayo kwa namna fulani tumeona yakileta matokeo mazuri.
Pia matokeo hayo ni jitihada zilizochukuliwa na baadhi ya waasisi wetu.
Tuna vyuo vya ufundi stadi yaani (vocational and training centre) na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.