Rais mpya wa Nigeria, Bola Tinubu ametumia hotuba yake ya kwanza baada ya kuapishwa kutoa tangazo kuu la kuondoa ufadhili serikali kwenye mafuta ikiwa ni sera zake mpya ili kupunguza shinikizo la kiuchumi.
"Ruzuku ya mafuta haipo," aliuambia umati uliojaa katika mji mkuu, Abuja.
Alishinda...