magari makubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    Mwenye connection ya mizigo ya magari makubwa kanda ya ziwa msaada tafadhali

    Mwenye connection ya mizigo ya magari makubwa kanda ya ziwa msaada tafadhali
  2. matairi Bora ya scania

    Tunauza matairi ya magari makubwa na madogo

    Habari, Ofa ofa ya mwezi mtukufu wa ramadhani karibu ujipatie matairi ya magari makubwa pamoja na magari madogo Kwa bei nafuu. Tunauza matairi ya brands zote size zote za matairi zinapatikana. Mikoani tunatuma pia Dar es salaam tunafanya delivery mzigo upo wakutosha karibuni wote mteja kwetu...
  3. matairi Bora ya scania

    Karibuni wateja wote wa matairi ya magari makubwa na madogo

    Habari, Karibu ujipatie matairi ya aina mbalimbali na size tofauti za brands zote. Tunauza matairi ya magari makubwa na madogo. Bei zetu ni nafuu sana mikoani tunatuma Dar es salaam tunafanya delivery mzigo upo wakutosha karibuni wte. Location Vingunguti karibu na sido Dar es salaam...
  4. matairi Bora ya scania

    Karibu ujipatie matairi ya aina zote magari makubwa na madogo brands zote

    Bei zetu kwa upande wa brand ya CENTARA . 1 - 315/80 R 22.5 - Tyre la mbele Price =465,000/= (highway) - Mixer (Trailer) Price =460,000/= Diff (kashata kubwa) price =510,000/= Diff kashata box box Price =510,000/= 2. 385/65 R 22.5 SUPERSINGLE price =610,000/= 3. R 22.5 TRANS TONE...
  5. Mnyenz

    Je wajua: Siasa za CCM & CHADEMA huamua bei elekezi ya vitu hivi?

    Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, sisi kama wananchi tunayo mengi ya kujifunza. Tunayo haja ya kuchuja sera zao kwa upana kwa maana wao hawa wanasiasa ndio huamua bei za vitu tunavyohitaji katika maisha ya kila siku. Leo nakuchapishia picha ya vyombo vya moto ambavyo wanasiasa...
  6. W

    Car4Sale TUNAUZA SPARE PARTS ZA AINA YOYOTE ZA MAGARI MAKUBWA

    Karibu katika kampuni yetu Bora ya hanlink engineering subsidiary co.ltd.dar es salaam Tunazo spare parts zote za magari makubwa mfano howo, FAW, nk. Tunauza kwa Bei nzuri na huduma yetu ni ya uhakika 📍Tunapatikana Vingunguti-Karakana 📞Mawasiliano 0748270719 #HANLINK TUPO KWA AJILI YA...
  7. U

    Msafara wa magari makubwa ya Kijeshi uliobeba silaha nzito kutoka Syria kwenda Lebanon wasambaratishwa na ndege za kijeshi za Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Haiishi Hadi iishe mayahudi wamechefukwa na wameamua kufanya kweli Muda mfupi uliopita wameshambulia na kuteketeza Msafara wa magari ya kijeshi uliobeba silaha kuelekea Lebanon Mungu ibariki Israel Hezbollah claims convoy of trucks struck by Israel on Syrian-Lebanon...
  8. houstony

    Msaada: Natafuta Ajira Dar es Salaam

    Habari wanajamii, Mimi ni kijana mwenye shahada ya uhandisi mitambo (Bsc in Mechanical Engineering) naishi Dsm. Jinsia ME, Kwasasa sina kazi yoyote, hivyo kama kijana mwenzenu nnaetafuta kujikwamua kimaisha naombeni msaada wenu niweze kupata kazi yoyote ya halali kwa maana hali imekuwa ngumu...
  9. Moha Mfinanga

    Fursa Ya Ajira kwenye Magari makubwa ya Mikoani na nje ya nchi

    Mwenye fursa naomba tupeane connection
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    Tukumbushane 1,2,3 za udereva wa magari makubwa na Thomas B. MWAMFUPE

    Chunguza upepo wa gari yako #Roadlife.Tuendelee kukumbushana kuwa dereva ukiendesha lori lako jitahidi kuangalia geji zako zote mara kwa mara,tofauti yake ni kuwa madereva tunaangalia saana geji ya mafuta,geji ziko nyingi na kila moja ina umuhimu wake, ipo geji ya Mafuta Upepo kwenye mitungi...
  11. Francis fares Maro

    SOLD: Tipper (Hino)

    Hino Tipper (Dumper) Repainted 1997 YOM 3.3 Tones 19 millions TSH negotiable Makumbusho Dar es salaam +255714908121
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    Yajue magari makubwa zaidi duniani

    10. Caterpillar 794 C The Caterpillar 794 C is the newest off-highway truck Urefu: 50.72 feet Kimo: 26.30 feet Upana: 32 feet. Nguvu: 3,500bhp Ubebaji: 291 metric tons 794 C is Caterpillar' Ni gari jipya la kufanya kazi kwenye maeneo magumu na limeingia sokoni mwaka 2020 September. Gari...
  13. M

    Kumbe lisemwalo lipo kweli!

    Wahenga wana msemo usemao lisemwalo lipo kama halipo laja, huwa jamii yetu wanasema jamii ya watu wanaofanya kazi za udereva haswa wa safari ndefu huwa wana tabia za uzinzi sana. Maneno haya yapo mtaani tangu siku nyingi hadi leo yanaongelewa, basi wikiendi iliyopita nilipata nafasi ya kusafiri...
Back
Top Bottom