magari ya taka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Mbunge Kasalali: Magari yakubeba Taka na yenyewe ni Takataka, NEMC imekosa meno

    Mbunge wa Sumve, Emmanuel Kasalali amesema mamlaka maalumu inapaswa kuwepo ili kusimamia masuala ya Mazingira kwani haijachukuliwa kwa mkazo wake Amesema siku za hivi karibuni Nemc imekuwa ikifunguia baadhi ya baa lakini baadhi ya wakuu wa wilaya wanasimamia kuzifungua Pamoja na hilo amesema...
  2. Mwanongwa

    Mbeya usafi ni kama anasa ndani ya jiji

    Jiji la Mbeya na vitongoji vyake suala la usafi limekuwa ni changamoto sana.Takataka zimezagaa kila kona ya mitaa ya jiji hilo . Wananchi wanatozwa pesa za taka na wanaambiwa taka hizo wazitoe majumbani zikiwa kwenye viroba kisha kuziweka barabarani kwaajili ya magari kubeba lakini matokeo yake...
  3. Shujaa Nduna

    Inashangaza mnaishia kukagua kwa mama ntilie tu!

    Ninyi watu wa usafi huwa mnapita kwa mama ntilie kukagua apron kama wamevaa safi, lakini muwe mnatazama na maji wanayooshea vyombo, machafu hata bata hanywi. Picha kutoka maktaba Sasa twende katika hoja ya leo. Kwanini watu wa afya hamuwapi elimu na kuwasisitiza wale wanaopakia uchafu kwenye...
Back
Top Bottom