Serikali ya Samia inakabiliwa na hali ya kushangaza, ambapo magari madogo ya watu binafsi yamechukuliwa kufanya kazi za Tanesco katika kila wilaya na kila mkoa wa Tanzania bara. Hali hii inatia wasiwasi na maswali mengi yanajitokeza.
Kwanza, je, serikali imefilisika na kukosa fedha za kununua...