magazeti ya serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kampuni ya magazeti ya serikali (TSN) yatangaza mnada , kazi kwenu kuna Range Rover wagon

    Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imetangaza kuwa itapiga mnada magari mbalimbali ambayo hayatumiki ikiwemo Range Rover Wagon siku ya Ijumaa Desemba 13, 2024. Mnada huo utafanyika katika Jengo la TSN lililopo Mtaa wa Isimani Upanga, Dar es Salaam utahusisha pia pikipiki, vifaa vya TEHAMA...
  2. Waziri Jerry Silaa: Avunja Bodi ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN)

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry William Silaa (Mb) kwa mamlaka aliyopewa kwa mujibu wa Sheria ya Mashirika ya Umma Na. 2 ya mwaka 1992 ameivunja Bodi ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) kuanzia tarehe 18 Septemba, 2024. Kampuni hii ya Magazeti ya...
  3. Tangazo dogo kwenye gazeti la serikali huchukua muda gani kutoka?

    Kwema wakuu? Naomba kujua ukishalipia tangazo dogo kwenye gazeti la serikali huchukua muda gani ili tangazo litangazwe kwenye gazeti?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…