Kwamba Mume wa marehemu hajulikani jina au jina limehifadhiwa Kwa sababu za kiuchunguzi?
Wanaume tambueni kwamba ukiona msomi tena mtumishi usiwe na moyo mdogo vinginevyo yatakukuta.
=========
DAR ES SALAAM - MWILI wa mfamasia wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Temeke, Magdalena Kaduma umekutwa...