02 February 2023
Dar es Salaam, Tanzania
Waomba mamlaka kuigilia kati, kampuni inayosimamia huduma ya jengo la ghorofa
Kuna matatizo ya kuhudumia ghorofa lenye floor 9 ambalo watu wamenunua apartment. Lift hazifanyi kazi, Bill za umeme anayesimamia jengo hapeleki TANESCO, pia service charges...