Sigara huzalisha kemikali za uraibu (Nicotine) ambazo husababisha maradhi yanayo husisha mifumo mbalimbali ya mwili wa binadamu iliwemo ile ya damu, moyo na upumuaji. Pia, ni chanzo cha aina mbalimbali za saratani zikiwemo za Kinywa na koromeo, utumbo mkubwa, kongosho na mapafu.
Kwa mujibu wa...