Wakuu,
Naomba msaada wa hii status ya NSSF kwenye account yangu.
Ni week ya 4 sasa tangu nifungue madai ya pesa zangu huko ila status inasoma bado lodged.
Kwanini kipindi chote raia wanajenga Nssf isiwastopishe?
Mmeacha mpaka watu wamemaliza ujenzi na kuamia katika makazi yao alafu leo hii nyumba zote zimewekwa X-Bomoa!
Muda wote mlikuwa wapi kuzuia watu wasijenge kwenye hayo maeneo?
Naomba serikali iangalie kwa jicho la pekee wananchi wake...
Anonymous
Thread
bonde la mto mzinga
bonde la mzinga
kero
magorofayanssf
malela
mzinga
nyumba
tuangoma
uvunjaji wa nyumba
Serikali imetangaza kuuza mradi wa ujenzi wa Dege, Kigamboni uliokuwa chini ya NSSF kutokana na kushindwa kuuendeleza.
Ujenzi wa mradi huo ulianza 2014 na Mwaka 2016 Serikali ya Awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli iliusimamisha baada ya kubaini kuwa kuna ufisadi mkubwa.
Cha kushangaza CCM na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.