Kama mchambuzi wa siasa ndani ya Afrika mashariki unaweza kutoa opinion gani kwa yale yanaoendelea kutokea nchini Kenya?
Willium Ruto ameamua kuwa jeuri na nyang'au na hivyo kuiondoa kenya kwenye wimbi la muda mrefu la ufisadi na uhuni uliokuwa umekithiri nchini Kenya?
Je, Ruto ameamua...
Kazi iendelee.
😂😂😂😂😁😁😁😁 Hii ni tafsiri ya mtoto wa form one mwaka 2022 huko shule NAMTUMBO
SAMIALOGY ni sera/tawi la sayansi ya uongozi linalojikita zaidi na utoaji wa haki, huduma bora,maridhiano, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji,ucha Mungu, uzalendo wa kweli na utoaji wa huduma safi...
Many Tanzanians are lining up on the streets waving goodbye and fairwell to the late Dr John Pombe Magufuli.
The demise of Magufuli has risen the spirit of PAN AFRICANISM.
THE LEADER OF THE POOR AFRICANS HAS GONE IN A HEROIC STYLE!
LONG LIVE MAGUFULI ....!
#YATIMAWAPOIMARA
Alisema Prof Lumumba
"We need to Magufulify Africa"
Make Africa great.
Mwanzo hakueleweka ila kwasasa kauli hii ina ukweli mkubwa mno.
Ukiangalia kwenye hili Janga la Covid-19 utauona ukweli wa hii kauli.
Magufuli kwa sasa nchi za ulaya ukitaja viongozi wa Africa tu jina la kwanza linalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.