Wakuu,
Rais mteule Donald Trump amepewa msamaha wa moja kwa moja katika kesi ya kughushi nyaraka za biashara kuficha malipo kwa Msanii Stormy Daniels, hatua inayomaanisha hatakabiliwa na kifungo, faini, au masharti yoyote baada ya hukumu iliyotolewa na Jaji Juan Merchan jana
Hapo awali Trump...