Salam.
Hii inatokana na mafanikio makubwa ya Yanga iliyoyapata na inayopanga kuyapata mengine..ndio maana hii habari ya yanga ya kutakiwa 'uongozi kuondolewa' imekuwa kubwa sana.
Kama yanga ingekuwa na migogoro kama siku za nyuma wala hii habari isingekuwa kubwa namna hii.
Nchi nzima leo...