MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Kazi imemuonya Mkurugenzi wa Gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe kwa kutofika Mahakamani tangu shauri la madai ya malimbikizo ya mishahara ya Waandishi wa Habari 10 lilipofunguliwa mwanzoni mwa mwaka jana na kumuamuru kulipa fedha hizo.
Dudley ambaye ni mtoto wa...