Baada ya takriban miezi miwili, kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wamiliki watatu wa jengo lililoporomoka mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, itatajwa Leo Januari 13, 2025 katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi...