Mahamoud Ali Youssouf (Somali: Maxamed Cali Yuussuf, Arabic: محمود علي يوسف; born 2 September 1965) is a Djiboutian diplomat and the Chairperson of the African Union Commission . He has served in the government of Djibouti as Minister of Foreign Affairs since 2005.
In April 2024, he was nominated by Djibouti for the position of the Chairperson of the African Union Commission. On 15th February 2025, he won the elections in Addis Ababa, Ethiopia after 7 rounds of voting.
Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika maarufu (AUC).
Katika Uchaguzi ambao ulikuwa nchini Ethiopia Mahamoud alishinda dhidi ya Raila Odinga ambaye alikuwa mwakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki
Raila alishinda...