mahari ya ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Nikitoa mahari kuna ulazima wa kuoa?

    Wasalaam? Hivi mtu ukitoa mahari unapangiwa na siku/tarehe ya kuoa au? Maana nataka nilasimishe nitoe mahari nimchukue tuanze kuishi pamoja kuhusu ndoa nimepanga nitafunga baadae kidogo uko mbeleni. Je, inawezekana?
  2. co fm

    Ushauri: Nataka kuoa mke kwa bajeti ya Tsh. Milioni 1

    Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27, mkazi wa jijini Dar es salaam. Nimepanga na nina kazi. Moja ya malengo yangu nikuwa ikifika mwisho mwa mwaka huu niwe tayari na mke au mtu nimemweka ndani. Sasa kutokana na ubize wa kazi zangu na aina ya mwanamke ninaye muhitaji naona...
Back
Top Bottom