Mh mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini Heri ya kwaresma.
Nije kwenye hoja, kuna uwezekano mkubwa wananchi wa Jimbo la moshi mjini tena kupitia ticket ya ccm kukosa Kura Za maoni kama walivyofanya awali au kukosa ubunge 2025.
Tatizo ulilonalo ni kutokutambua wananchi wako wanahitaji nini na...