mahojiano maalum

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. beth

    Rais Samia: Anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao. Amesema huenda ni uoga, lakini wanapeleka maamuzi kufanywa ngazi ya juu Ameeleza hayo katika mahojiano maalum na Jambo Tanzania...
  2. A

    Mahojiano maalum na mkurugenzi wa Zoa Zoa, Dkt. Elizabeth

    MAHOJIANO MAALUM NA MKURUGENZI WA ZOA ZOA, DK. ELIZABETH Mwishoni mwa wiki, wana habari walifanya mazungumzo ya dakika arobaini na tano (45) na Mkurugenzi Mtendaji wa Grace Product Limited, watoaji wa bidhaa za Zoa Zoa, Dk. Elizabeth Kilili. Katika mahojiano hayo yaliyolenga kujua ukuaji wa...
  3. beth

    Rais Samia atoa rai kwa Umoja wa Mataifa kusaidia Serikali ya Tanzania

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Tanzania ingependa Umoja wa Mataifa uwasaidie ili waweze kujenga yanayotakiwa na wananchi ikiwemo Elimu, Afya, Maji, Umeme na Pembejeo za Kilimo Ameeleza hayo Septemba 24, 2021 katika Mahojiano Maalum na Habari za UN huko New York Nchini Marekani...
Back
Top Bottom