Watu wengi kwa kutokujua wamekuwa wakiamini kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa India, Indira Gandhi alikuwa mtoto wa Baba wa Taifa la India Mahtma Gandhi. Indira hakuwa mtoto wa Gandhi bali alikuwa mtoto pekee wa waziri mkuu wa kwanza wa India, Jawaharlal Nehru na Mkewe Kamala Nehru.
Ubini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.