mahubiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

    Mungu alipoona Taifa lake la Waarabu linaangamia kwa kukengeuka aliwateremshia Mtume Muhammad (SAW) kuwafindisha namna bora ya kuishi kwa kumpendeza Mungu. Akawaamrisha mema na kuwakataza mabaya kwa Mujibu wa Mafundisho ya Allah Tabaraq wa Taallah. Mungu pia alidhihirika nyakati za Rais Sauli...
  2. RIGHT MARKER

    Siku hizi waumini tunapenda mahubiri ya kumiliki vitu vya dunia

    🔘 Siku hizi waumini hatutaki INJILI ya kuambiwa/kuhubiriwa; ✓Acha umalaya ni dhambi. ✓ Acha kudanga ni dhambi. ✓ Acha wizi ni dhambi. ✓ Acha uchawi ni dhambi. ✓ Acha kutoa mimba ni dhambi. ✓ Acha pombe ni dhambi. ✓ Acha rushwa ni dhambi. ✓ Acha ushoga na usagaji ni dhambi. ✓ Acha kubaka watoto...
  3. Lexus SUV

    Soon tu aliyezaliwa 2002 hatokuwa mtoto tena

    HERI YA MWAKA MPYA 2025 aseeeeee siku zinaenda kasi sana. naona kizazi cha 90 nacho kishatoka kwenye enzi za utoto... na enzi za ujana zinaelekea kuisha kwa kizazi hichi chetu cha 90 sooon tuu hivi vidogo vyetu vya 1998,1999 ,2000,2001,2002 na hata 2003. navyo vitasema FINALY CHILDHOOD...
  4. JanguKamaJangu

    Pope Francis: Fupisheni mahubiri au ‘Watu watasinzia’

    Pope Francis has once again appealed to Catholic priests to keep their homilies short, this time warning that homilies should be no longer than eight minutes or “people will fall asleep.” Speaking in St. Peter’s Square for his Wednesday catechesis on June 12, the pope explained that the goal of...
  5. Pascal Mayalla

    Nishati Safi ya Kupikia: Je Tunahitaji Zaidi Utashi wa Kisiasa, Political Will, au Mahubiri ya Nishati Safi, Huku Mazingira Bado ni ya Kuni na Mkaa?

    Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la leo. Utekelezaji wa hoja ya Nishati safi ya kupikia, unahitaji zaidi utashi wa kisiasa kuliko ahadi za maneno na kuwagawia bure mitungi ya gesi watu masikini wa kutupwa wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea ambapo hawana uwezo wa...
  6. Pdidy

    Unawasha redio tusikilize mahubiri dk 30 unaanza kukoromaa unaweweseka n mapepo yanatoka ama..c2 mjetusaidia

    Napensa sana mahubiri sema tukiwa tuko OK Hii kuwasha redio wote tunakoroma dk 30 unaanza kuweweseka kama jini mahaba amekupi1tia Mnatutisha wapendwa..... Embu tuwe serious n1a Mungu
  7. Pdidy

    Yaani sikuhizi mahubiri kila kutoa na majanga ya kutotoa sadaka..

    Mpaka rahaa wataelewa tu Nilikuwa naangalia star TV mahubjri ya kutoa nkaenda TV upendo kutoa Nkamua niende kanisani huko nakoo n kutoaaa Narudi hme sasa nasikiliza redio moja ya dini hukoo ndioo balaa wanatishiwa kabjsaa wasipotoa madhara yake..... Tusiache kutoa sadaka jaman wahubiri...
  8. M

    Sijawahi yaelewa mahubiri ya Wasabato

    Wakuu Mimi nilikua ni mpenzi sana wa dini ya kisabato ,niliipenda dini hii kuanzia itikadi za Muonekano(nywele,mavazi),pili nyimbo zao zinavutia sana,ilifika kipindi kidoogo niwe msabato rasmi. Lakini tangu nianzie kufuatilia mahubiri Yao muda wote wanahubili Mambo ya siku ya sabato ni...
  9. R

    Masheik mahubiri ya maadili yasiishie kwenye ushoga, jumuisha HAKI, WIZI WA MALI ZAUMMA- REPORT ZA CAG, siasa safi, uongozi bora na mambo kama hayo

    Mahubiri yenu yanaikumbatia serikali. Hubirini HAKI, wizi wa mali za Umma , uuzwaji wa rasilimali za nchi, MaDc, RC, kuwaonea watu , report za CAG na vitu kama hivyo. Maadili si ushoga/ubakaji tu. Hubiri na kusema uongo si maadili ( Magufuli yuko ofisini anachapa kazi, kumbe yuko mortuary)...
  10. Pdidy

    KKKT mbona roman catholic hawaangaiki na hao wa mafuta mahubiri yenu kila siku vs mafuta si nanyie muanze uza mafuta?

    Yaani imekuwa kama keroo sasaa mnafanya wengine tusiende makanisan Yaan kuna viongozi kila ukisikia ibada mahubiri yao 50 perc wanaanza kukandia wach wa mafuta sijui mkaa sijui majivu ooh mtanyeshwa, Kwa nini msichukue mda kufundisha neno la Mungu waelewe wapone Mbaya. Mnalalamika...
  11. MK254

    Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

    Limetetemeka kweli kweli na kufunguka yote, sijawahi kuelewa mawazo ya hawa watu na haya maugaidi ya kwenye dini yao.................... This is the moment the gunmen suspected of carrying out an attack on a concert hall in Moscow are arrested by Russian authorities. Videos shared online...
  12. BARD AI

    Siku hizi Makanisani 90% mahubiri ni kuhusu Sadaka Sadaka Sadaka!

    Unaingia kanisani na shida zako kwa kutegemea upunguziwe mastress ya maisha matokeo yake unaenda kubebeshwa madeni tena. Kanisa siku nzima linachangisha fedha, bado kuna sadaka kama 7 hivi aloo. Hawa majamaa hapana aisee. Mungu hajaagizo mambo ya hivyo. Sadaka ni hiari ya mtu ila siku hizi...
  13. Maleven

    Bora sauti za mziki kuliko mahubiri ya dini

    Unapokua unatafuta utulivu ubaki wewe na akili yako au upunzike ulale, unaweza fanya hivyo kwenye mziki kuliko kwenye mahubiri ya dini. Sababu ni kua, mziki ni flow ambayo unaweza kui ignore lkn haya mahubiri yana interfere sana na mawazo yako. Kama hujakutana nayo huwezi kuelewa
  14. Nyafwili

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: UKIMWI bado upo, ninawaomba suala hili lipewe kipaumbele wakati wa mahubiri.

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa dini kuwaangalia zaidi vijana, akilitaja kama kundi ambalo liko hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI, huku akiwataka kuimarisha huduma za unasihi na malezi yenye mlengo wa kustahimili mabadiliko yanayotokana na utandawazi...
  15. M

    Mahubiri yamezidi kuwa holela sana. Tatizo ni Viongozi wa jiji

    Asubuhi ninapokwenda Kariakoo kwenye mishemishe zangu lazima niwahi kupanda Mwendo kasi pale Mbezi mwisho. pale ninaposubiria gari kuna wale jamaa walioweka Spika zao na kakikapu ka sadaka huku wakihubiri, huwa nashindwa kuongea na Simu sababu ya sauti za spika. Afadhali ingekuwa ni mara moja...
  16. mama D

    Mahubiri machungu na ya kutuponya toka kwa Kuhani na mwalimu Musa Richard Mwacha

    Vijana kuna tuition nzuri sana toka kwa Kuhani na Mwalimu Musa Richard Mwacha Mwanaume mwenye viwango vya juu kama kichwa cha familia. Big up kwa mwanaume yoyote mwenye bidii ya kazi. Eti umekula?? umekunywa maji?? Umelala??😂😂😂 Baadhi ya Watoto wa kike hawataki kutumia ubongo zao
  17. Huliza

    Ni mahubiri ya Utajiri, Mafanikio na Miujiza, Watu wanamtegemea Mchungaji Eliona Kimaro na kusahau injili ni Shida na Mateso

    Ni utamaduni mpya kabisa wa mahubiri ya Utajiri, Mafanikio na uponyaji tu na Miujiza unaopingana na Imani ya Msalaba, Eliona Kimaro na baadhi ya watu waliojipa utume na unabii wamelenga kwenye mahubiri ya uponyaji, utajiri, Miujiza na Mafanikio hivyo kuwaaminisha wafuasi wao kuwa njia ya...
  18. and 300

    World Islamic Cup, 2022 Qatar

    Qatar masharti kila kukicha mara sijui hamna pombe mara uje na cheti cha ndoa, mara sijui nn Yani masharti kibao daily. Kwann msiandae kombe la maadili ya dini pendwa?
  19. Nyankurungu2020

    Ongezeko la wanaofanya mahubiri kwenye mabasi mijini. Nini chanzo?

  20. MamaSamia2025

    Wachungaji msitumie maneno ya kudhalilisha utu wakati wa mahubiri au semina zenu

    Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi. Naandika huu uzi nikiwa na hasira kali sana dhidi ya baadhi ya wachungaji, manabii, Motivational speakers na wengine wote wanaotoa mahubiri au semina mbalimbali. Hii ni kwa sababu ya wengi kuanza kudhalilisha watu kwa kisingizio cha ushauri. Mara...
Back
Top Bottom