Ni jambo ambalo sijawahi kuliwazia ila ndio ukweli kwa kizazi hichi kilichoanzia miaka ya 90 kwenda mbele, ndoa zinavunjika kila kukikucha ila wachumba sugu bado wanaleta, zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo binafsi nadhani zinachochea hali hii:
1. Mwanamke akiolewa hubweteka sana maana...
MADHARA YA KASHFA NA TUHUMA ZA UZUSHI
Madhara ya kashfa ni kwamba unaweza kufukuzwa kazi,kutengwa na familia pamoja na jamii, unaweza kupoteza ajira, unaweza kupoteza uaminifu katika jamii, unaweza kupoteza heshima yako kwenye jamii, mahusiano/ndoa kuvunjika ghafla, mauaji, umwagaji damu hasa...
Mazoea hayo ni tatizo la akili, au ikifika umri wanaanza hiyo michezo au kimila hio inakaaje?
Kisheria ni kosa ndugu kutoka kimapenzi, ila kesi hizi zinaweza kuwa ni nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.