Habari zenu bana.
Ameniomba pesa nimeenda kwa wakala kumtumia na nika hakikisha jina lake.
Yeye anasema mimi ni mjeuri na simpatilizi kwasababu eti hata sijampigia simu kumuuliza kama imefika!!!,.
Nimemjibu kama ifuatavyo.
Wewe, ukiomba ela nikikutumia ni jukumu lako kuangalia na kuniambia...
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji.
Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri.
Sasa Naona mapenzi kwake yameanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.