mahusiano bila ya pesa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tuwe na Mungu wakati wote. Hawa wanawake watatuua mapema

    Tuwe na mungu
  2. Mwanamke ananiona mimi eti ni mjeuri!

    Habari zenu bana. Ameniomba pesa nimeenda kwa wakala kumtumia na nika hakikisha jina lake. Yeye anasema mimi ni mjeuri na simpatilizi kwasababu eti hata sijampigia simu kumuuliza kama imefika!!!,. Nimemjibu kama ifuatavyo. Wewe, ukiomba ela nikikutumia ni jukumu lako kuangalia na kuniambia...
  3. Mwanaume wangu kafulia, simpendi tena kama zamani. Nifanyeje?

    My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji. Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana kwake . Yani hela ananipa ila kidogo sana tena ya kusubiri. Sasa Naona mapenzi kwake yameanza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…