mahusiano kabla ya ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mtoto wa 2000 kaniambia nimezubaa sana. Kauli yake sijaipenda kabisa!

    Habari wakuu, apa ngoja niwape true story but fupi ila inachekesha sana. Apo kwanza ngoja nicheke. Leo asubuhi, mazingira ya asubuhi, kuna mabinti wawili wamekuja kazini. Mmoja mama K, mwingine ni kabinti ka 2000. Alivyofika, kakawa kananichekea chekea. Baadaye, mshikaji akamtongoza na...
  2. Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

    Niliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha. Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja...
  3. Video: Dogo wa elfu 2 amkomalia jamaa wa 80 alie mtorosha ndege wake

    Sisi tulio zaliwa miaka ya themanini katikati, themanini mwishoni na tisini pamoja na kaka zetu wa themanini mwanzoni na wale wa miaka ya sabini, tuache kushobokea issues za watoto wa elfu2 coz wana dunia Yao ya peke Yao. And they don't like us wanasema sisi washamba. Watoto wa tisini tu...
  4. Tuwe na Mungu wakati wote. Hawa wanawake watatuua mapema

    Tuwe na mungu
  5. Ushauri: Amejifungua lakini hataki niwaone watoto wangu. Nimshtaki?

    Wakuu Salaam!!!!! Nilikuwa nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hivi,tuli-date na mwisho wa siku akawa amenasa ujauzito na akaniambia kuwa Mimi ndio Muhusika,basi nikakubali japo nilikuwa nina mashaka sana Kuna muda niliambiwa kuwa yuko kwenye mahusiano na jamaa yangu na wakati bado ana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…