Habari wakuu, apa ngoja niwape true story but fupi ila inachekesha sana.
Apo kwanza ngoja nicheke.
Leo asubuhi, mazingira ya asubuhi, kuna mabinti wawili wamekuja kazini. Mmoja mama K, mwingine ni kabinti ka 2000. Alivyofika, kakawa kananichekea chekea. Baadaye, mshikaji akamtongoza na...