mahusiano mazuri na familia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. puker

    Nimekuwa mtu wa kuumizwa, kutopewa thamani na kusalitiwa kwa wale wote niliowaamini na kuwapenda

    Habarini ndugu zangu. Niende Moja kwa Moja kwenye mada. Maisha ya mwanadamu ni mjumuisho wa vitu vingi sana, tunapambana Kila kukicha kuhakikisha tunakuwa Bora zaidi ya tulivyokuwa Jana. Lakini kwa sasa kwangu hii imekuwa tofauti. Najua wengi tunapitia changamoto lakini tunapambana na...
  2. More Chances

    Naomba Ushauri: Kuna binti nimezaa naye lakini sihitaji kuishi naye kama mke. Simuoni kama mwanamke wa ndoto yangu

    𝐼𝑘𝑜 ℎ𝑖𝑣𝑖𝑖, 𝐾𝑢𝑛𝑎 𝑚𝑠𝑖𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑖𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑛𝑜𝑤 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑎𝑘𝑎 𝑚𝑖𝑤𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑎𝑑ℎ𝑎𝑎, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑢𝑙𝑖𝑗𝑎𝑟𝑖𝑏𝑢 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑝𝑎𝑚𝑜𝑗𝑎 𝑖𝑙𝑒 𝑠𝑜𝑔𝑒𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑒 𝑖𝑙𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑛𝑑𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑘𝑖𝑢𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑜𝑣𝑒 𝑛𝑎𝑒 𝑤𝑎𝑙𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢𝑜𝑛𝑖 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑚𝑤𝑎𝑛𝑎𝑚𝑘𝑒 𝑤𝑎 𝑛𝑑𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑖 𝑚𝑗𝑒𝑢𝑟𝑖 , 𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑖 𝑚𝑡𝑢 𝑤𝑎 𝑣𝑖𝑠𝑎𝑠𝑖 𝑐ℎ𝑜𝑐ℎ𝑜𝑡𝑒...
  3. exalioth

    Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

    Nakwenda kwenye maada Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo Sasa...
  4. J C

    Hii kauli inamaanisha nini wadau?

    Mwanandani wangu wa kike amekuwa na tabia kuvutia mambo kwao mathalani kuwafundisha watoto tamaduni za kwao ikiwemo lugha na kusifia mambo mengi ya kwao. (kabila lake). Sasa Jana ghafla akaanza kumuongelea baba yake mzazi kiufupi siye aliyemlea alimzaa tu wakalea wengine hata MAHARI hakupokea...
  5. Kwamacho

    Mahusiano ya familia yangu yananiharibu kisaikolojia

    Ndugu zangu, napenda kushiriki hali yangu na ninaomba ushauri wenu. Nimekuwa nikilelewa na bibi yangu tangu nikiwa na umri wa miaka 2 na sasa nina miaka 24 na wazazi wangu wote wapo hai mpaka sasa. Sijawahi kuonana na baba yangu kabisa ingawaje kwa sasa tunawasiliana katika simu, Mama yangu...
Back
Top Bottom