Ilikuwa ni mwaka 2014 nipo facebook, nilipost picha yangu kwenye group la "tafuta marafiki na mchumba", kulikuwa na comment nyingi za mabinti, nikachagua mmoja ambae nimevutiwa nae kwa kuangalia profile picha.
Mazungumzo yalianza rasmi kuanzisha urafiki na siku chache zijazo tukawa wachumba wa...