mahusiano na familia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Inahitaji akili mingi sana na ujasiri kuwa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu

    Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100%...
  2. Uliwezaje kukaa kwenye geto mkiwa zaidi ya mmoja. Vipi kuhusu mademu.

    Mimi ninachokumbuka ni mshikaji kuleta demu na demu kulala wote usingizi haukuja huku mm nikiwa bado sijawahi fanya hayo mambo.
  3. M

    Mahusiano hayataki nguvu nyingi ikiwa upendo upo kati, ukiona hivyo hamishia hizo nguvu kwenye biashara

    Nguvu tunazotumia kuwekeza sehemu tusipotakiwa huwa ni kubwa sana kiasi kwamba hizo nguvu zingewekezwa pengine zingeleta matokeo chanya na makubwa. UKIONA UNATUMIA NGUVU NYINGI NI DALILI KUWA UPO UNALAZIMISHA USIPOTAKIWA. Usilazimishe usipotakiwa na usifanye hili kosa tena kwa sababu...
  4. SoC04 Masingo maza na masingo father, mayatima wapya wanaohitaji kituo cha taifa cha mahusiano na familia

    'MASINGO MAZA NA MASINGO FATHER', MAYATIMA WAPYA WANAOHITAJI KITUO CHA MALEZI CHA TAIFA. Ndugu zangu, Idadi ya MASINGO MAZA, inatishia uhai wa KIZAZI KIJACHO. Hivi sasa tunaanda KIZAZI ambacho hakitatambua nafasi ya BABA kwenye familia. Iko haja kama Taifa kwa miaka 25 ijayo, tuje na tiba ya...
  5. Mahusiano ya familia yangu yananiharibu kisaikolojia

    Ndugu zangu, napenda kushiriki hali yangu na ninaomba ushauri wenu. Nimekuwa nikilelewa na bibi yangu tangu nikiwa na umri wa miaka 2 na sasa nina miaka 24 na wazazi wangu wote wapo hai mpaka sasa. Sijawahi kuonana na baba yangu kabisa ingawaje kwa sasa tunawasiliana katika simu, Mama yangu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…