mahusiano na mke wa mtu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. holoholo

    Nimefumaniwa,nimepigwa na kuamuliwa kulipa Milioni 1.5 na mngoni wangu

    Wakuu, Ukweli usemwe umalaya sio dili ndugu zangu,kufanya uzinzi na mke au mume wa mtu ni ujinga na kujitafutia kifo. Kama una tabia hiyo acha mala moja. Mwenzenu yamenikuta,ilitokea nikapendwa na mke wa mtu,nikaanza kutoka nae ni mwaka wa pili sasa ninachepuka nae. Jana si akaniita tena kuwa...
  2. Eli Cohen

    Ni aibu sana kijana wa kiume kujisifia kuwa unatongozana na mke wa mtu. Hizi tabia mlijifunzia wapi?

    "Nyakati ngumu huunda wanaume wenye nguvu, wanaume wenye nguvu huunda nyakati nzuri, nyakati nzuri huunda wanaume dhaifu, na wanaume dhaifu huunda nyakati ngumu." Kipindi unakuwa uliwahi kusikia wakubwa zako wanashare stories za kula na kutongoza wake za watu? Mke wa mtu ni uchungu uliojificha...
  3. Chachu Ombara

    Mke wa mtu sumu; Auawa kwa tuhuma za kufumaniwa na mke wa mtu

    Kijana ambaye amefahamika kwa jina la Faida Deus (34) mkazi wa kijiji cha Bugalama kata ya Bugalama Halmashauri ya wilaya ya Geita ameuawa kwa tuhuma za kufumaniwa na mke wa mtu. Wakizungumza na waandishi wa habari ndugu wa marehemu wamesema tukio hilo lilitokea Oktoba 30 mwaka 2024 majira ya...
  4. Damaso

    Mke wa mtu anataka kuzaa na mimi. Je, nimtafune au nimpotezee?!

    Mwaka 2015 kwenye harakati za kutafuta kazi, nikaingia ofisi moja hapa Jijini Dar es Salaam. Nilipewa connection na rafiki yangu kuwa niende kuonana na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo. Mwamba nikabeba zangu vyeti vyote mpaka wa dini, shughuli ilianza mapema sana nikaamka saa 10 usiku...
  5. Dan Zwangendaba

    Kikao cha Wanaume: Usimkule Mke wa Mtu Hata Kama Kajirahisi Vipi Kwako

    Kikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja...
  6. ndege JOHN

    Mnadeal vipi na changamoto ya kusingiziwa unatoka na mke wa fulani wakati sio kweli ?

    Mitaani huku tunapoishi mtakuwa mashahidi kuna pindi inatokea unaelewana na jinsia tofauti ya yako KIURAFIKI tu.. Kwa mfano kuna mmama mkubwa anauzwa grocery na wewe ni mteja ukifika mnatia stori kibao sasa ghafla anaanza kugombana na mumewe sababu anazohadithia huyu mmama wa grocery ni kwamba...
  7. tang'ana

    Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

    Mko poa humu watu wa mapenzi? Nina mahusiano na mke wa mtu. So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote? Muwe na jioni njema.
  8. Hammer11

    Nina uhusiano na mwanamke wa 28 miaka 28 lakini kaolewa na mzee

    Hivi ndivyo ilivyokuwa: Nilikutana na huyu dada na nikamtongoza kwa sababu niliona anafanya kazi katika duka la mzee fulani. Hapo awali, sikujua kama mzee huyo alikuwa mume wake, nilidhani labda alikuwa baba yake. Baada ya kumtongoza, alinieleza kuwa ana mume ambaye ni huyo mzee na wana mtoto...
Back
Top Bottom