Ukubali ukatae huu ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli,
1) Ukiwa umetoka kula bata na mume wa mtu,
Wewe utaenda nyumbani kwenu lakini yeye atarudi nyumbani ambapo anaishi na familia yake.
2) Kumbuka kua mkimaliza ku sex nae hutupa condom ambazo mlitumia mbali zaidi,
Ili mke wake...