Wakuu,
Watu wapo karibu na wazazi/mzazi wake lakini yeye ni kumtakia mabaya kila leo. Mzazi anafurahi kuona mtoto wake anaharibiwa, ukifanikiwa inakuwa kama mwiba kwake, hapakufai hapo kaa mbali.
Kuna wazazi wanawatafuta watoto wao wakiwa na matatizo tu, na mtoto akishindwa kutatua changamoto...