main switch

  1. mike2k

    Msaada: Main Switch inajizima yenyewe

    Habari wana JF. Leo toka asubuhi home sina umeme. Kwenye mida ya saa tano asubuhi Uemme wa Tanesco ulikuwa unakatika na kurudi baadae main switch ikajizima. Sasa kila nikiiwasha bado inajirudi kuzima. Naulizia waataalam wa umeme shida ni nini. Na nifanye nini ili iweze kurudi kawaida?
  2. Going Concern

    Vitu gani vinaamua idadi ya njia za Main Switch kwenye nyumba yako?

    Kuna nyumba Nimefika hatua ya wiring. sasa kuna Fundi jirani na ninapojenga aliomba kazi akaomba kunipigia gharama ya vitu. Moja ya vitu aliandika Main switch (3 phase 12 ways). Fundi ambae kajenga Boma mpaka kuezeka naye akaleta fundi wake akaandika vifaa vyake na Main Switch (3 phase 18...
  3. Abu Haarith

    jinsi ya kufitisha main switch ya njia nne

  4. isley

    Msaada wa bei ya hivi vifaa please

    Naomba kujua bei ya Hivi vifaa kwa dar nasikia ni nafuu zaidi
Back
Top Bottom