maisha bila kazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cecil J

    Kwa hivi karibuni kuna kizazi cha hovyo kinachoongezeka

    Gwala kwa wana Jf. Niteremke hapa kwenye ngazi taratibu na kuingia kwenye mada. Makuzi ya miaka ya sasa imepelekea kupatikana kizazi cha hovyo kweli! Watoto kutojua wanapaswa kuongea vipi na watu mbalimbali, mfano watu wazima, waliowazidi vyeo, na mengine mengi. Yaani mtoto anaongea na mtu...
  2. Last_Joker

    Kwanini maisha yamekuwa kazi tu, kazi! Mbona hatuna muda wa raha?

    Siku hizi maisha yamekuwa kama mashindano ya marathon – unakimbia tu bila pumziko. Mara unakuta kila siku umeamka mapema, unakimbizana na muda, ukirudi nyumbani usiku umechoka, na wakati mwingine hata weekend hakuna kupumzika. Sasa hivi, ni kama vile kila mmoja wetu anataka “kufanikisha ndoto”...
  3. F

    This is too much now, hivi ni mapepo au ni hali ya kawaida kwenye utafutaji?

    Wakuu kwema, naomba nishare mapito yangu ya utafutaji maisha toka 2019 hadi 2024. Maana nashindwa kuelewa kwanini kila kitu nachokifanya hakifanikiwi. Naamini kupitia huu uzi nitapata abc za kufanikiwa next time. Baada tu ya kumaliza chuo niliamua nijiajiri kwenye mifugo(ufugaji wa kuku)...
  4. mapema

    Nini chanzo cha hofu impatayo mtu anapo fika umri wa miaka 30 na kuendela

    Tokea nilipofikisha miaka 30 mpaka sasa mwaka wa 6 baadae, nimekuwa na hofu sana na maisha nikitazama nilipotoka na kulinganisha nilipo majibu ya ninakoenda hakuna nuru, mapambano ni mengi ila matokeo chanya ni machache sana. Miaka kumi nyuma ilikua ni juzi tu hapo nilikua na miaka 20 na, miaka...
  5. Ben Zen Tarot

    Jifunze siri hii ili ufanikiwe katika maisha

    Kuwalaumu wengine kwa ugumu na changamoto tunazopitia katika maisha yetu mara nyingi ni njia rahisi ambayo wengi huichagua. Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba kila mtu tunayekutana naye ktk safari yetu ya maisha ana jukumu katika kutuunda na kuchangia uzoefu wetu. Watu wazuri katika maisha...
  6. Gemini AI

    Tujadili Maisha: Ni kweli Watu wenye roho nzuri hawafanikiwi kimaisha wakati wenye roho mbaya wanatoboa Kirahisi?

    Kuna usemi maarufu unaosema, "watu wazuri wanamaliza mwisho," ambao mara nyingi hutumika kuelezea hali ambapo watu wenye roho nzuri, ambao ni waaminifu, wanyenyekevu, na wenye huruma, wanakosa mafanikio katika maisha. Wakati huo huo, wale ambao wanaonekana kuwa na roho mbaya, wanaoweza kuwa na...
  7. BabaMorgan

    Maisha yanapozidi kuwa magumu na uwezo wa kufikiria unakuwa chini

    Huu ni mtazamo wangu binafsi ambao ni based kutokana na experience nilizopitia mpaka Sasa. Maisha yanapokuwa magumu mara nyingi fikra zinakuwa ni zilezile unatumia energy na Akili kubwa kuwaza utakula nini, utalipaje Kodi ama utavaa Nini na kwa bahati mbaya ukipata pesa kidogo unazotumia ili...
  8. D

    Familia nzima tumefeli kila ndoto imegeuka alinacha, hatuna muelekeo kabisa

    Picha ilianza na Mimi. Nilibahatika ya kufaulu na kwenda shule nzuri tu ya sekondari ambako pia nilifauli kwenda masomo ya juu. Nikiwa nimekomaa na masomo ya biashara, ndoto kuu ilikuwa kuja kuwa mfanyakazi wa taasisi flani za kifedha. Tena huko zinakotokea. Leo hii ni mwalimu ninayefundisha...
  9. D

    Moment: Benki ya Finca ilivotunyoosha mimi na familia yetu kisawa sawa

    Daah maisha yanatupitisha kwenye moments ambazo ni ngumu kusahaulika. Moja ya moment ambayo sitakuja kuisahau ni jinsi Bank ya Finca ilivotufanyia somba somba alooo. Nakumbuka mwaka 2010 tumekaa ofisini na mama (ofisi ya kushona nguo maana wazazi wangu wote ni mafundi kushona na kipindi hicho...
  10. felakuti

    Wadau nisaidieni ushauri kimawazo kwenye jambo hili

    Hamjambo wana JamiiForums Wakati mwingine unaweza kuwaza sana hadi kichwa kinataka kubasti, kuna kipindi kabla sijawa mtu mzima nilikua napishana na mtu anaongea mwenyewe na kurusha mikono hewani, nilikua najiuliza sana, ila badae sana nikapata majibu. Wadau nina nyumba mbili katika kupiga...
  11. James Hadley Chase

    Maisha yananikatisha tamaa sana

    Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia. Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini...
  12. Robidinyo

    Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Usiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopa. Jamaa...
Back
Top Bottom